Skip to content
Yohana 20:2-4

Yohana 20:2-4

2
Hivyo akaja akikimbia kwa Simoni Petro pamoja na yule mwanafunzi mwingine ambaye Yesu alimpenda, na kusema, “Wamemwondoa Bwana kaburini, na hatujui walikomweka!”
3
Petro na yule mwanafunzi mwingine wakaondoka mara kuelekea kaburini.
4
Wote wawili walikuwa wanakimbia, lakini yule mwanafunzi mwingine akakimbia mbio zaidi kuliko Petro, akatangulia kufika kaburini.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options