پرش به محتوا
Yohana 20:12-13

Yohana 20:12-13

12
naye akaona malaika wawili wamevaa mavazi meupe, wameketi pale mwili wa Yesu ulipokuwa umelazwa, mmoja upande wa kichwani na mwingine upande wa miguuni.
13
Wakamuuliza Maria, “Mwanamke, mbona unalia?” Akawaambia, “Nalia kwa kuwa wamemchukua Bwana wangu na sijui walikomweka.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options