Skip to content
Yohana 19:21-22

Yohana 19:21-22

21
Viongozi wa makuhani wa Wayahudi wakapinga, wakamwambia Pilato, “Usiandike ‘Mfalme wa Wayahudi,’ bali andika kwamba mtu huyu alisema yeye ni mfalme wa Wayahudi.”
22
Pilato akawajibu, “Nilichokwisha kuandika, nimeandika!”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options