Skip to content
Yohana 19:20-22

Yohana 19:20-22

20
Kwa kuwa mahali hapo Yesu aliposulubiwa palikuwa karibu na mjini, Wayahudi wengi walisoma maandishi haya yaliyokuwa yameandikwa kwa lugha za Kiebrania, Kiyunani na Kilatini.
21
Viongozi wa makuhani wa Wayahudi wakapinga, wakamwambia Pilato, “Usiandike ‘Mfalme wa Wayahudi,’ bali andika kwamba mtu huyu alisema yeye ni mfalme wa Wayahudi.”
22
Pilato akawajibu, “Nilichokwisha kuandika, nimeandika!”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options