Skip to content
Yohana 19:1-3

Yohana 19:1-3

1
Ndipo Pilato akamtoa Yesu akaamuru apigwe mijeledi.
2
Askari wakasokota taji ya miiba, wakamvika Yesu kichwani. Wakamvalisha joho la zambarau.
3
Wakawa wanapanda pale alipo tena na tena, wakisema, “Salamu! Mfalme wa Wayahudi!” Huku wakimpiga makofi usoni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options