Skip to content
Yohana 18:13-14

Yohana 18:13-14

13
Kwanza wakampeleka kwa Anasi, mkwewe Kayafa, aliyekuwa kuhani mkuu mwaka ule.
14
Kayafa ndiye alikuwa amewashauri Wayahudi kwamba imempasa mtu mmoja kufa kwa ajili ya watu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options