Skip to content
Yohana 17:6-8

Yohana 17:6-8

6
“Nimelidhihirisha jina lako kwa wale ulionipa kutoka ulimwengu. Walikuwa wako, nawe ukanipa mimi, nao wamelitii neno lako.
7
Sasa wamejua ya kuwa vyote ulivyonipa vimetoka kwako,
8
kwa kuwa maneno yale ulionipa nimewapa wao, nao wameyapokea na kujua kwamba kweli nimetoka kwako, nao wameamini kuwa wewe ulinituma.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options