Skip to content
Yohana 16:8-11

Yohana 16:8-11

8
Naye atakapokuja, atauthibitishia ulimwengu kuhusu dhambi, haki na hukumu.
9
Kwa habari ya dhambi, kwa sababu hawaniamini mimi,
10
kwa habari ya haki, kwa sababu ninakwenda kwa Baba, nanyi hamtaniona tena,
11
kwa habari ya hukumu, kwa sababu yule mkuu wa ulimwengu huu amekwisha kuhukumiwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options