Yohana 15:1-3
1
“Mimi ndimi mzabibu wa kweli na Baba yangu ndiye mkulima.
2
Kila tawi ndani yangu lisilozaa matunda, Baba yangu hulikata, nalo kila tawi lizaalo, hulisafisha ili lipate kuzaa matunda zaidi.
3
Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya lile neno nililonena nanyi.