Skip to content
Yohana 15:1-2

Yohana 15:1-2

1
“Mimi ndimi mzabibu wa kweli na Baba yangu ndiye mkulima.
2
Kila tawi ndani yangu lisilozaa matunda, Baba yangu hulikata, nalo kila tawi lizaalo, hulisafisha ili lipate kuzaa matunda zaidi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options