Skip to content
Yohana 14:7-9

Yohana 14:7-9

7
Kama mngenijua mimi, mngemjua na Baba pia. Tangu sasa, mnamjua Baba yangu, tena mmemwona.”
8
Filipo akamwambia, “Bwana, tuonyeshe Baba yako yatosha.”
9
Yesu akamjibu, “Filipo, nimekaa nanyi muda huu wote hata usinijue? Mtu yeyote aliyeniona mimi, amemwona Baba. Sasa wawezaje kusema, ‘Tuonyeshe Baba’?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options