Skip to content
Yohana 13:34-35

Yohana 13:34-35

34
“Amri mpya nawapa: Mpendane kama mimi nilivyowapenda ninyi, vivyo hivyo nanyi mpendane.
35
Kama mkipendana ninyi kwa ninyi, kwa njia hii, watu wote watajua kuwa ninyi ni wanafunzi wangu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options