Skip to content
Yohana 12:37-38

Yohana 12:37-38

37
Hata baada ya Yesu kufanya miujiza hii yote mbele yao, bado hawakumwamini.
38
Hili lilikuwa ili kutimiza lile neno la nabii Isaya lililosema: “Bwana, ni nani aliyeamini ujumbe wetu, na mkono wa Bwana umefunuliwa kwa nani?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options