Skip to content
Yohana 11:9-10

Yohana 11:9-10

9
Yesu akawajibu, “Si kuna saa kumi na mbili za mchana katika siku moja? Wala watembeao mchana hawawezi kujikwaa kwa maana wanaona nuru ya ulimwengu huu.
10
Lakini wale watembeao usiku hujikwaa kwa sababu hakuna nuru ndani yao.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options