Skip to content
Yohana 11:33-35

Yohana 11:33-35

33
Yesu alipomwona Maria akilia na wale Wayahudi waliokuja pamoja naye pia wakilia, Yesu alisikia uchungu moyoni, akafadhaika sana.
34
Akauliza, “Mmemweka wapi?” Wakamwambia, “Bwana, njoo upaone.”
35
Yesu akalia machozi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options