Skip to content
Yohana 11:11-14

Yohana 11:11-14

11
Baada ya kusema haya, Yesu akawaambia, “Rafiki yetu Lazaro amelala, lakini naenda kumwamsha.”
12
Wanafunzi wakamwambia, “Bwana, kama amelala usingizi ataamka.”
13
Hata hivyo, Yesu alikuwa anazungumzia kuwa Lazaro amekufa, lakini wanafunzi wake hawakuelewa, walidhani kwamba anasema Lazaro amelala usingizi tu.
14
Kwa hiyo Yesu akawaambia waziwazi, “Lazaro amekufa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options