Skip to content
Yohana 11:1-2

Yohana 11:1-2

1
Basi mtu mmoja jina lake Lazaro alikuwa mgonjwa. Yeye alikuwa akiishi Bethania kijiji cha Maria na Martha dada zake.
2
Huyu Maria, ambaye Lazaro kaka yake alikuwa mgonjwa, ndiye yule ambaye alimpaka Bwana mafuta na kuifuta miguu yake kwa nywele zake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options