Skip to content
Yohana 10:7-9

Yohana 10:7-9

7
Kwa hiyo Yesu akasema nao tena akawaambia, “Amin, amin nawaambia, mimi ndimi lango la kondoo.
8
Wote walionitangulia ni wevi na wanyangʼanyi, lakini kondoo hawakuwasikia.
9
Mimi ndimi lango, yeyote anayeingia zizini kwa kupitia kwangu ataokoka, ataingia na kutoka, naye atapata malisho.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options