Skip to content
Yohana 10:41-42

Yohana 10:41-42

41
Watu wengi wakamjia, nao wakawa wakisema, “Yohana hakufanya muujiza wowote, lakini kila jambo alilosema kumhusu huyu mtu ni kweli.”
42
Nao wengi wakamwamini Yesu huko.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options