Skip to content
Yohana 10:24-30

Yohana 10:24-30

24
Wayahudi wakamkusanyikia wakamuuliza, “Utatuweka katika hali ya mashaka mpaka lini? Kama wewe ndiye Kristo tuambie waziwazi.”
25
Yesu akawajibu, “Nimewaambia, lakini hamwamini. Mambo ninayoyatenda kwa jina la Baba yangu yananishuhudia.
26
Lakini hamwamini, kwa sababu ninyi si wa kundi la kondoo wangu.
27
Kondoo wangu huisikia sauti yangu nami nawajua, nao hunifuata,
28
nami ninawapa uzima wa milele, hawataangamia kamwe wala hakuna mtu atakayewapokonya kutoka mikono yangu.
29
Baba yangu aliyenipa hawa ni mkuu kuliko wote na hakuna awezaye kuwapokonya kutoka mikononi mwake.
30
Mimi na Baba yangu tu umoja.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options