Skip to content
Yohana 10:1-3

Yohana 10:1-3

1
“Amin, amin nawaambia, yeye asiyeingia katika zizi la kondoo kwa kupitia kwenye lango, lakini akwea kuingia ndani kwa njia nyingine, ni mwizi na mnyangʼanyi.
2
Yeye anayeingia kwa kupitia kwenye lango ndiye mchungaji wa kondoo.
3
Mlinzi humfungulia lango na kondoo huisikia sauti yake. Huwaita kondoo wake kwa majina yao na kuwatoa nje ya zizi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options