Skip to content
Yohana 1:12-13

Yohana 1:12-13

12
Bali wote waliompokea, aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake.
13
Hawa ndio wasiozaliwa kwa damu, wala kwa mapenzi ya mwili au kwa mapenzi ya mtu, bali kwa mapenzi ya Mungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options