Skip to content
Yoeli 3:15-16

Yoeli 3:15-16

15
Jua na mwezi vitatiwa giza, na nyota hazitatoa mwanga wake tena.
16
Bwana atanguruma kutoka Sayuni na mshindo wa ngurumo kutoka Yerusalemu; dunia na mbingu vitatikisika. Lakini Bwana atakuwa kimbilio la watu wake, ngome imara kwa ajili ya watu wa Israeli.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options