Yoeli 3:15-16
15
Jua na mwezi vitatiwa giza, na nyota hazitatoa mwanga wake tena.
16
Bwana atanguruma kutoka Sayuni na mshindo wa ngurumo kutoka Yerusalemu; dunia na mbingu vitatikisika. Lakini Bwana atakuwa kimbilio la watu wake, ngome imara kwa ajili ya watu wa Israeli.