Yoeli 3:1-2
1
“Katika siku hizo na wakati huo, nitakaporejesha neema ya Yuda na Yerusalemu,
2
nitayakusanya mataifa yote na kuyaleta katika Bonde la Yehoshafati Hapo nitaingia kwenye hukumu dhidi yao kuhusu urithi wangu, watu wangu Israeli, kwa kuwa waliwatawanya watu wangu miongoni mwa mataifa na kuigawa nchi yangu.
Settings