Skip to content
Ayubu 9:22-23

Ayubu 9:22-23

22
Hayo yote ni sawa; ndiyo sababu nasema, ‘Yeye huwaangamiza wasio na makosa pamoja na waovu.’
23
Wakati pigo liletapo kifo cha ghafula, yeye hudhihaki kule kukata tamaa kwa yule asiye na kosa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options