Skip to content
Ayubu 9:20-21

Ayubu 9:20-21

20
Hata kama sikuwa na hatia, kinywa changu kingenihukumu; kama sikuwa na kosa, kingenitangaza kuwa mwenye hatia.
21
“Ingawa mimi sina kosa, haileti tofauti katika nafsi yangu; nauchukia uhai wangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options