Skip to content
Ayubu 7:6-7

Ayubu 7:6-7

6
“Siku zangu zinapita upesi kuliko mtande wa kufuma, nazo zinafikia mwisho wake bila matumaini.
7
Kumbuka, Ee Mungu, maisha yangu ni kama pumzi; macho yangu kamwe hayataona tena raha.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options