Skip to content
Ayubu 6:2-3

Ayubu 6:2-3

2
“Laiti uchungu wangu ungeweza kupimwa, nayo taabu yangu yote ingewekwa kwenye mizani!
3
Kwa kuwa hakika ingekuwa nzito kuliko mchanga wa bahari zote, kwa hiyo si ajabu maneno yangu yamekuwa ya haraka.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options