Skip to content
Ayubu 6:1-3

Ayubu 6:1-3

1
Kisha Ayubu akajibu:
2
“Laiti uchungu wangu ungeweza kupimwa, nayo taabu yangu yote ingewekwa kwenye mizani!
3
Kwa kuwa hakika ingekuwa nzito kuliko mchanga wa bahari zote, kwa hiyo si ajabu maneno yangu yamekuwa ya haraka.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options