Skip to content
Ayubu 5:2

Ayubu 5:2

Inaonyesha mstari 2 pamoja na muktadha unaouzunguka.
1
“Ita kama unataka, lakini ni nani atakayekujibu? Ni yupi kati ya hao watakatifu utakayemgeukia?
2
Kuweka uchungu moyoni humuua mpumbavu, nao wivu humchinja mjinga.
3
Mimi mwenyewe nimemwona mpumbavu akistawi, lakini ghafula nyumba yake ikawa imelaaniwa.
4
Watoto wake wako mbali na usalama, hushindwa mahakamani bila mtetezi.
5
Wenye njaa huyala mavuno yake, wakiyatoa hata katikati ya miiba, nao wenye kiu huitamani sana mali yake.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options