Skip to content
Ayubu 5:17-19

Ayubu 5:17-19

17
“Heri mtu yule ambaye Mungu humrudi; kwa hiyo usidharau adhabu yake Mwenyezi.
18
Kwa kuwa hutia jeraha, lakini pia huyafunga; huumiza, lakini mikono yake pia huponya.
19
Kutoka majanga sita atakuokoa; naam, hata katika saba hakuna dhara litakalokupata wewe.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options