Ayubu 5:17-19
17
“Heri mtu yule ambaye Mungu humrudi; kwa hiyo usidharau adhabu yake Mwenyezi.
18
Kwa kuwa hutia jeraha, lakini pia huyafunga; huumiza, lakini mikono yake pia huponya.
19
Kutoka majanga sita atakuokoa; naam, hata katika saba hakuna dhara litakalokupata wewe.