Ayubu 5:12-14
12
Huipinga mipango ya wenye hila, ili mikono yao isifikie ufanisi.
13
Yeye huwanasa wenye hekima katika hila yao, nayo mipango ya wadanganyifu huifagilia mbali.
14
Giza huwapata wakati wa mchana; wakati wa adhuhuri hupapasa kama vile usiku.