Ayubu 5:1
Inaonyesha mstari 1 pamoja na muktadha unaouzunguka.
1
“Ita kama unataka, lakini ni nani atakayekujibu? Ni yupi kati ya hao watakatifu utakayemgeukia?
2
Kuweka uchungu moyoni humuua mpumbavu, nao wivu humchinja mjinga.
3
Mimi mwenyewe nimemwona mpumbavu akistawi, lakini ghafula nyumba yake ikawa imelaaniwa.
4
Watoto wake wako mbali na usalama, hushindwa mahakamani bila mtetezi.
Settings