Skip to content
Ayubu 40:8-9

Ayubu 40:8-9

8
“Je, utabatilisha hukumu yangu? Utanilaumu mimi ili kujihesabia haki mwenyewe?
9
Je, una mkono kama wa Mungu, nawe waweza kutoa sauti ya ngurumo kama yake?
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options