Skip to content
Ayubu 4:7-10

Ayubu 4:7-10

7
“Fikiri sasa: Ni mtu yupi asiye na hatia ambaye aliwahi kuangamia? Ni wapi wanyofu waliwahi kuangamizwa?
8
Kwa jinsi ambavyo mimi nimechunguza, wale walimao ubaya na wale hupanda uovu, huvuna hayo hayo hayo.
9
Kwa pumzi ya Mungu huangamizwa; kwa mshindo wa hasira zake huangamia.
10
Simba anaweza kunguruma na kukoroma, lakini bado meno ya simba mkubwa huvunjika.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options