Skip to content
Ayubu 38:4-6

Ayubu 38:4-6

4
“Ulikuwa wapi nilipoweka misingi ya dunia? Niambie, kama unafahamu.
5
Ni nani aliyeweka alama vipimo vyake? Hakika wewe unajua! Ni nani aliyenyoosha kamba ya kupimia juu yake?
6
Je, misingi yake iliwekwa juu ya nini, au ni nani aliyeweka jiwe la pembeni,
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options