Ayubu 38:31-33
31
“Je, waweza kuufunga mnyororo wa Kilimia? Waweza kulegeza kamba za Orioni?
32
Waweza kuyaongoza makundi ya nyota kwa majira yake, au kuongoza Dubu na watoto wake?
33
Je, unajua sheria zinazotawala mbingu? Waweza kuweka utawala wa Mungu duniani?