Ayubu 38:2-5
2
“Nani huyu atiaye mashauri yangu giza kwa maneno yasiyo na maarifa?
3
Jikaze kama mwanaume; nitakuuliza swali, nawe unijibu.
4
“Ulikuwa wapi nilipoweka misingi ya dunia? Niambie, kama unafahamu.
5
Ni nani aliyeweka alama vipimo vyake? Hakika wewe unajua! Ni nani aliyenyoosha kamba ya kupimia juu yake?
Settings