Skip to content
Ayubu 38:2-4

Ayubu 38:2-4

2
“Nani huyu atiaye mashauri yangu giza kwa maneno yasiyo na maarifa?
3
Jikaze kama mwanaume; nitakuuliza swali, nawe unijibu.
4
“Ulikuwa wapi nilipoweka misingi ya dunia? Niambie, kama unafahamu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options