Skip to content
Ayubu 35:1-3

Ayubu 35:1-3

1
Ndipo Elihu akasema:
2
“Je, unadhani hili ni haki? Wewe unasema, ‘Nina haki mbele za Mungu.’
3
Bado unamuuliza, ‘Ni faida gani nimepata, na imenifaidi nini kwa kutokutenda dhambi?’
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options