Skip to content
Ayubu 34:19-20

Ayubu 34:19-20

19
yeye asiyependelea wakuu, wala haonyeshi upendeleo kwa matajiri kuliko maskini, kwa kuwa wote ni kazi ya mikono yake?
20
Wanakufa ghafula, usiku wa manane; watu wanatikiswa nao hupita; wenye nguvu huondolewa bila mkono wa mwanadamu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options