Skip to content
Ayubu 33:16-18

Ayubu 33:16-18

16
anaweza akasemea masikioni mwao, na kuwatia hofu kwa maonyo,
17
ili kumgeuza mtu kutoka kwenye kutenda mabaya na kumwepusha na kiburi,
18
kuiokoa nafsi yake na shimo, uhai wake usiangamizwe kwa upanga.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options