Ayubu 31:26-28
26
kama nimelitazama jua katika kungʼaa kwake au mwezi ukienda kwa fahari yake,
27
hivyo moyo wangu kushawishiwa kwa siri, au kubusu mkono wangu kwa kuviheshimu,
28
basi hiyo pia ingekuwa dhambi ya kuhukumiwa, kwa kuwa ningekuwa si mwaminifu kwa Mungu aishiye juu sana.