Skip to content
Ayubu 31:24-28

Ayubu 31:24-28

24
“Kama nimeweka tumaini langu kwenye dhahabu, au kuiambia dhahabu safi, ‘Wewe ndiwe salama yangu,’
25
kama nimefurahia wingi wa utajiri wangu, ustawi ambao mikono yangu ilikuwa imepata,
26
kama nimelitazama jua katika kungʼaa kwake au mwezi ukienda kwa fahari yake,
27
hivyo moyo wangu kushawishiwa kwa siri, au kubusu mkono wangu kwa kuviheshimu,
28
basi hiyo pia ingekuwa dhambi ya kuhukumiwa, kwa kuwa ningekuwa si mwaminifu kwa Mungu aishiye juu sana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options