跳到主要内容
Ayubu 31:13-14

Ayubu 31:13-14

13
“Kama ningewanyima haki watumishi wangu wanaume au vijakazi wangu, walipokuwa na manungʼuniko dhidi yangu,
14
nitafanya nini Mungu atakaponikabili? Nitamjibu nini nitakapoitwa kutoa hesabu?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options