Skip to content
Ayubu 30:21-23

Ayubu 30:21-23

21
Wewe unanigeukia bila huruma; unanishambulia kwa nguvu za mkono wako.
22
Unaninyakua na kunipeperusha kwa upepo; umenirusha huku na huko kwenye dhoruba kali.
23
Ninajua utanileta mpaka kifoni, mahali ambapo wenye uhai wote wamewekewa.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options