Ayubu 3:20-22
20
“Mbona nuru inawaangazia wale walio taabuni, na hao wenye uchungu kupewa uhai,
21
wale wanaotamani kifo ambacho hakiji, wale watafutao kufa zaidi ya kutafuta hazina iliyofichwa,
22
ambao hujawa na furaha, na hushangilia wafikapo kaburini?