Skip to content
Ayubu 3:17-19

Ayubu 3:17-19

17
Huko waovu huacha kusumbua na huko waliochoka hupumzika.
18
Wafungwa nao hufurahia utulivu wao, hawasikii tena sauti ya kukemea ya kiongozi wa watumwa.
19
Wadogo na wakubwa wamo humo, na mtumwa ameachiwa huru kutoka kwa bwana wake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options