Ayubu 3:11-13
11
“Kwa nini sikuangamia wakati wa kuzaliwa? Kwa nini sikufa nilipokuwa ninatoka tumboni?
12
Kwa nini pakawa na magoti ya kunipokea na matiti ili nipate kunyonyeshwa?
13
Kwa maana sasa ningekuwa nimepumzika kwa amani. Ningekuwa nimelala na kupumzika