Skip to content
Ayubu 29:24-25

Ayubu 29:24-25

24
Walipokata tamaa niliwaonyesha uso wa furaha; nuru ya uso wangu ilikuwa ya thamani kwao.
25
Niliwachagulia njia na kukaa kama mkuu wao; niliishi kama mfalme katikati ya majeshi yake; nikawa kama yeye anayewafariji waombolezaji.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options